Ezra 1:1

Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni

1 aKatika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

Copyright information for SwhKC